Publication
Mboga za Watu wa Pwani
Kilifi Utamaduni Conservation Group
|
No region in Kenya boasts of a greater variety of vegetables than the coastal area. Over 100 species are used by the nine linguistically-related groups living here, the Mijikenda. Just as rich is the knowledge associated with these vegetables as seen in the variety of mixtures that may be formed in a single preparation and the delicate art of balancing the quantities of each. This book makes available information on this rich vegetable culture. It provides local names of the vegetables in the different dialects (Mijikenda groups), scientific names, ecological and production information, method of preparation and mixtures involved. Eight plates with over 100 photographs as well as over 60 illustrations are provided for easy identification of the species. ************************************************************ Hamna sehemu ya Kenya inayojivunia aina nyingi za mboga kuliko Pwani. Zaidi ya aina mia moja hutumiwa na wakaaji wa sehemu hii waitwao WaMijikenda. Vile kuna wingi wa aina za mboga, ndivyo pia kuna wingi wa ujuzi unaoambatana na hizi mboga. Huu ujuzi tunaushuhudia wakati mboga aina tofauti zinapochangnywa kwa umakini na kupikwa pamoja. Kitabu hiki kinasimulia utamaduni wa kipekee wa mboga za Wamijikenda. Kinaelezea maumbile ya hizi mboga, majina ya mboga kwa lugha za waMijikenda na ya kisayanzi, mazingira ambamo mboga inamea,
Author: Maundu, P.; Yasuyuki Morimoto; Towett, E.; Ombonya na, J.A.; Obel-Lawson, E. (eds.) |



Follow Us
Subscribe here to get the latest update by Email.
You can read our Privacy Policy here
Alternatively you can subscribe by RSS:
[Close]